Story ya mapenzi: A ride with mom - JamiiForums My god, she thought, what am I doing This is my son If I sit on his lap, things are going to get out of hand But her inner self, convinced her that she was old enough to keep the situation from going past the point of mother son joking around Her eyes locked on his for a moment then she stepped in front of him, and sat down on his lap
Pre GE2025 - Rasmi, Mahakama yapiga marufuku shughuli . . . - JamiiForums Jaji wa Mahakama Kuu, Hamidu Mwanga ametoa uamuzi mdogo katika kesi namba 8323 ya mwaka 2025 iliyofunguliwa na Said Issa Mohamed na wenzake wawili, akikitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kusitisha shughuli zake kwa siku 14
FT | Simba SC 1-0 Singida Black Stars SC - JamiiForums Simba 1 - 0 Singida Black Stars (⚽ MUKWALA 42' ) LIGI: NBC premier League ⚽🏆 Game: Simba SC v s Singida Black Stars SC Tarehe: 28-05-2025 Uwanja: KMC Complex Muda: Saa kumi jioni ni mechi ya kiporo yenye mvuto wa kipekee, Simba SC wataingia dimbani kwenye uwanja wa KMC Complex kuchuana vikali
My experience baada ya kumaliza chuo kikuu - JamiiForums Mama yule ,Mungu ambariki sana alinambia sawa naweza jitolea ila hana fungu la kunilipa chochote Nikamwambia mama usijali uzuri natokea nyumbani,haina shida nahitaji kujifunza kazi tu Walinirusuhu nifanye asubuhi hadi saa 6 mchana then wakawa wananiruhusu nirudi nyumbani Basi ikawa baada ya saa 6 naenda shinda stendi nikiangalia kama kuna fursa
Simulizi, Mwacheni aishi - JamiiForums Karibuni sana wapenzi wa simulizi, Leo naitambulisha kwenu simulizi hii iitwayo "MWACHENI AISHI " Ndani ya simulizi hii utakutana na visa, mikasa na matukio ya maisha kwa ujumla, vimbwenga, mapenzi wivu, usalitu, chuki, mauaji, na kadharika Mwandishi anakukaribisheni kutoa maoni ushauri na
Kwanini majini wanajitesa kwa kuishi kama wanadamu? Mkuu iko hivi katika jinsi ulivyosimuliwa kuna kitu hukuelewa vizuri Sawa upo uwezekano wa jini kupanda daladala au kwenda sokoni au kufanya chochote mwanadamu anachofanya ila huwa wanfanya kwa lengo fulani ila haimaanishi kwamba wamekosa nauli au wakienda sokoni haimaanishi kuwa wana njaa ya kuiba mchele bali huenda kwa malengo maalumu either wametumwa wamfuatilie binadamu fulani kwa lengo
Baada ya uhuru, Tanzania Bara iliwahi kuwa na watumishi . . . - JamiiForums Zambia my homeland said: Kuna Mzee mmoja aged almost 82 by now, aliniambia kuwa baada ya uhuru Tanzania Tanganyika ilikuwa na majaji kutoka Malawi pamoja na nchi zingine za commonwealth Vile vile inasemekana tuliwahi kuwa na IGP somebody Solomon Lihani, inasemekana kuwa ni wa Kabila la Waluya la huko Kenya
KERO ya Ku-block Cease Blacklist Matumizi ya NIDA NIN (National . . . Ni kwamba huenda wewe yamekukumba hapo ulipo na wala haujui kama yamekukumba huenda unadhani upo salama kumbe haupo salama mpaka siku ukitaka service ambayo Taasisi itatakiwa kuvuta information zako NIDA ndio hapo utakutana na ujumbe wa THERE IS A PROBLEM PARSING MESSAGE RECEIVED FROM NIDA; au