安裝中文字典英文字典辭典工具!
安裝中文字典英文字典辭典工具!
|
- Diamond anapokuwa demon - JamiiForums
Kitendo cha Diamond kumuunga mkono Samia kweye siasa uchwara kitamgharimu Kwa sasa najiuliza kama huyu ni Diamond au Demon Naoma msaada
- PostGE2025 - Diamond: Mungu azilaze pema roho za waliotangulia
PostGE2025 Diamond: Mungu azilaze pema roho za waliotangulia DuaZaMama Nov 4, 2025 diamond platnumz mungu azilaze pema Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
- Diamond aweweseka, aanza kununua maroboti yamjazie idadi ya followers . . .
Dozi inaanza kumuingia taratibu Diamond, kila akipost hapati comments wala like za kutosha kama mwanzoni hivyo inadhihirisha nguvu yake ya ushawishi inazidi kuporomoka Kuna post mbili alipost kupromote nyimbo zake na zote hizo post kapata mwitikio mdogo Kaja na drama zake na kizuchu wake
- Twendeni tukaripoti account ya Insta ya Diamond Platnumz ifungiwe . . .
Haijaisha mpaka iishe Tunaanza walipoishia wao Kama kweli una uchungu wa watu waliopoteza maisha kwa ajili ya mama yule kuingia madarakani kibabe akisaidiwa na wasanii uchwara kumpa promo Promo zao zimewaponza, tunaanza walipoishia wao, wasifikiri vita imeisha ,ngoma bado mbichi sana
- Diamond ahudhuria bunge kushuhudia Baba Levo akila kiapo
Mbunge mteule wa Jimbo la Kigoma Mjini Kupitia CCM, Clayton Revocatus Chipando Maarufu Baba Levo akieleza furaha yake Siku yake ya kwanza Bungeni ambapo leo Novemba 11 2025 amekula kiapo rasmi kuanza kuwatumikia Wananchi wa Jimbo la Kigoma Mjini Msanii Diamond Platnumz alihudhuria mkutano huo
- Msanii Diamond afuta post zote za CCM - JamiiForums
Kaondoa hadi post ya kumtakia heri Samia Suluhu kwenye Uchaguzi Mkuu 2025 Ndo kishawasaliti au kanusa kitu mbele?
- Wananchi mtandaoni waiwakia kampuni ya Pepsi kumuondoa Diamond kama . . .
Wananchi mtandaoni waiwakia kampuni ya Pepsi kumuondoa Diamond kama balozi wake watishia kutokunywa pepsi Hasira za wananchi je, zinaweza kupelekea vituo vya kampuni hio kulengwa kwenye maandamano yajayo ?
- Je Diamond atakuwa chawa rasmi wa Baba Levo ikiwa Baba Levo atapewa . . .
Uwezekano wa baba levo kupewa uwaziri wa michezo upo ,iwe kwa kutumia ushawishi wa Diamond au yeye mwenyewe maana uwezo wa kujieleza anao Sasa swali langu lipo hivi, je Diamond anaweza akawa chawa rasmi wa baba levo kama itatokea baba levo akaukwaa uwaziri?
|
|
|